forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
517 B
Markdown
24 lines
517 B
Markdown
# mwana wako, binti yako, mjakazi wako wa kiume, mjakazi wako wa kike, Mlawi
|
|
|
|
Hawa hawarejei kwa mtu maalumu. Ina maana hawa ni aina ya watu kwa jumla.
|
|
|
|
# ndani ya malango yako
|
|
|
|
Hapa "malango" uwakilisha miji
|
|
|
|
# mgeni, yatima na mjane
|
|
|
|
Hii urejea kwa aina ya watu hawa kwa jumla
|
|
|
|
# yatima
|
|
|
|
Hawa ni watoto ambao wazazi wao wote walifuga na hawana ndugu wa kuwajali.
|
|
|
|
# mjane
|
|
|
|
Hii ina maana ya mwanamke ambaye mme wake amekufa na hana watoto wa kumjali kwa umri wa uzeeni.
|
|
|
|
# kumbuka akilini
|
|
|
|
Hii ni nahau. "kumbuka"
|