forked from WA-Catalog/sw_tn
476 B
476 B
usimkubali
"Usikukabali kwa kile anataka "
Wala jicho lako lisimhurumie
Hapa "jicho lako" urejea kwa mtu mzima.
wala hautamzuia au kumficha
"wala hautamuonyesha huruma au kujificha kutoka kwa wengine kile alichokifanya"
mkono wako utakuwa wa kwanza kumuawa
Hii inamaanisha kwamba alikuwa wa kutupa jiwe la kwanza kwa mtu aliye na hatia. Neno "mkono" uwakilisha mtu mzima.
mkono wa watu wote
Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. "watu wengine wataungana nawe"