forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
476 B
Markdown
20 lines
476 B
Markdown
|
# usimkubali
|
||
|
|
||
|
"Usikukabali kwa kile anataka "
|
||
|
|
||
|
# Wala jicho lako lisimhurumie
|
||
|
|
||
|
Hapa "jicho lako" urejea kwa mtu mzima.
|
||
|
|
||
|
# wala hautamzuia au kumficha
|
||
|
|
||
|
"wala hautamuonyesha huruma au kujificha kutoka kwa wengine kile alichokifanya"
|
||
|
|
||
|
# mkono wako utakuwa wa kwanza kumuawa
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba alikuwa wa kutupa jiwe la kwanza kwa mtu aliye na hatia. Neno "mkono" uwakilisha mtu mzima.
|
||
|
|
||
|
# mkono wa watu wote
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" uwakilisha mtu mzima. "watu wengine wataungana nawe"
|