forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
810 B
Markdown
24 lines
810 B
Markdown
# Taarifa ya ujumla
|
|
|
|
Musa anawakumbusha watu wa Israeli nini kilitokea nyuma.
|
|
|
|
# mbao za jiwe, mbao za agano ambalo Yahwe alifanya na ninyi
|
|
|
|
Hapa kikundi cha maneno ya pili ufafanua kwamba "mbao za jiwe" ni zile Mungu aliandika amri kumi.
|
|
|
|
# siku arobaini na usiku arobaini
|
|
|
|
"siku 40 na usiku 40"
|
|
|
|
# juu yake ziliandikwa kila kitu kama maneno yote ambayo Yahwe alitangaza kwenu
|
|
|
|
Hii inaweza kutofasiriwa katika kauli tendaji. "Yahwe aliandika juu yake maneno yale yale aliyosema kwenu"
|
|
|
|
# Yahwe alitangaza...nje katikati ya moto
|
|
|
|
Ilikuwa kama Yahwe alikuwa mtu anasimama katikati mwa moto na kuzungumza kwa sauti kubwa.
|
|
|
|
# katika siku ya kusanyiko
|
|
|
|
Nomino kufikirika "kusanyiko" inaweza kuelezwa kama tendo "kusanya kwa pamoja." "katika siku wakati ninyi wanaisraeli wote mlikuja na kukutana pamoja eneo moja"
|