forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
883 B
Markdown
36 lines
883 B
Markdown
# Taarifa ya ujumla
|
|
|
|
Musa aendelea kuzungumza na wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja.
|
|
|
|
# wakati kundi la wanyama...dhahabu inaongezeka
|
|
|
|
Haya maneno ni ya mwisho katika orodha ya "wakati" vishazi ambavyo huanza pamoja na "wakati unakula" 8:11
|
|
|
|
# kundi la wanyama wako na mifugo yako
|
|
|
|
"kundi la ng'ombe wako na kundi la kondoo wako na mbuzi"
|
|
|
|
# kuongezeka
|
|
|
|
"kuongezeka kwa namba" au "kuwa wengi"
|
|
|
|
# vyote ambavyo umezidisha
|
|
|
|
"una vitu vingi zaidi" au "una umiliki mwingi zaidi"
|
|
|
|
# kwamba wakati ule moyo wako ulipoiunuliwa... ulimsahau Yahwe
|
|
|
|
Musa ambia mambo mawili ambayo yatatokea kama wote "wakati" maelezo 8:11 yanakuwa kweli.
|
|
|
|
# moyo wako umefanyika kuinuliwa juu
|
|
|
|
Hii ni nahau "unaweza kuwa na kiburi"
|
|
|
|
# nani alikuleta nje
|
|
|
|
Musa anaanza kuwakumbusha wanaisraeli kwa kile wanachojua kuhusu Yahwe.
|
|
|
|
# nje ya nyuma ya utumwa
|
|
|
|
Huu ni mfano wa wakati walipokuwa watumwa huko Misri.
|