forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
606 B
Markdown
24 lines
606 B
Markdown
# Taarifa ya ujumla
|
|
|
|
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe. Mifano yote ya "wewe" na "yako" ni uwingi.
|
|
|
|
# hakuweka upendo wake juu yenu
|
|
|
|
"hakuwapenda ninyi"
|
|
|
|
# pamoja na mkono hodari
|
|
|
|
Hapa "mkono hodari" urejea kwa nguvu ya Yahwe.
|
|
|
|
# kuwakomboa toka nyumba ya utumwa
|
|
|
|
Musa anazungumza juu ya Yahwe kuwakomboa watu wa Israeli kutoka katika utumwa kama vile Yahwe amelipa pesa kwa mmiliki wa mtumwa.
|
|
|
|
# nyumba ya utumwa
|
|
|
|
Hapa maneno "nyumba ya utumwa" urejea kwa Misri, eneo ambalo watu wa Israeli walikuwa watumwa.
|
|
|
|
# mkono wa Farao
|
|
|
|
Hapa "mkono" una maana "utawala wa" "utawala wa Farao"
|