forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
688 B
Markdown
28 lines
688 B
Markdown
# Taarifa ya ujumla
|
|
|
|
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja
|
|
|
|
# Ni zipi amri za agano...amrisha ninyi
|
|
|
|
Hili swali ni maneno. "Nini amri za agano...aliamuru umaanisha kwako" au "Kwanini tunapaswa kutii amri za agano...amrisha ninyi"
|
|
|
|
# mwana wako
|
|
|
|
Hii urejea kwa watoto wa watu wakubwa wa Israeli ambao Musa alikuwa anazungumza maneno ya Yahwe.
|
|
|
|
# na mkono hodari
|
|
|
|
Hapa "mkono hodari" urejea kwa nguvu ya Yahwe/
|
|
|
|
# na juu ya nyumba yake yote
|
|
|
|
Hapa maneno "nyuma yake" urejea kwa watu wa Yahwe.
|
|
|
|
# mbele za macho yenu
|
|
|
|
Hapa neno "macho" urejea kwa mtu kamili
|
|
|
|
# kuweza kutuleta sisi ndani
|
|
|
|
Maana kamili ya maelezo haya inaweza kufanywa wazi.
|