forked from WA-Catalog/sw_tn
786 B
786 B
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kwa kile kilichotokea hapo nyuma.
Ogi...Sihoni
Haya ni majina ya wafalme
Edrei...Heshbon
Haya ni majina ya miji.
Yahwe alisema nami, 'Usimuogope; ...nimekupa...chini ya utawala wako...Utafanya...kama ulivyofanya...huko Heshbon.'
Yahwe anazungumza na Musa kama Musa alikuwa mwanaisraeli, hivyo amri "usiogope" na mifano yote ya "wewe" na "yako" viko katika wingi.
muogope yeye...juu yake...watu wake na nchi yake
Hapa maneno "yeye" na "yake" urejea kwa Ogi
Nimekwisha kukupa ushindi
Yahwe anazungumza kwa kile atakachofanya kama vile amekwisha fanya.
Utafanya kwake kama ulivyofanya kwa Sihoni
Neno "kwake" ni neno la badala la "watu wake." "Utamharibu Ogi na watu wake kama ulivyofanya kwa Sihoni"