forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
786 B
Markdown
28 lines
786 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kwa kile kilichotokea hapo nyuma.
|
||
|
|
||
|
# Ogi...Sihoni
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wafalme
|
||
|
|
||
|
# Edrei...Heshbon
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya miji.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe alisema nami, 'Usimuogope; ...nimekupa...chini ya utawala wako...Utafanya...kama ulivyofanya...huko Heshbon.'
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumza na Musa kama Musa alikuwa mwanaisraeli, hivyo amri "usiogope" na mifano yote ya "wewe" na "yako" viko katika wingi.
|
||
|
|
||
|
# muogope yeye...juu yake...watu wake na nchi yake
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "yeye" na "yake" urejea kwa Ogi
|
||
|
|
||
|
# Nimekwisha kukupa ushindi
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumza kwa kile atakachofanya kama vile amekwisha fanya.
|
||
|
|
||
|
# Utafanya kwake kama ulivyofanya kwa Sihoni
|
||
|
|
||
|
Neno "kwake" ni neno la badala la "watu wake." "Utamharibu Ogi na watu wake kama ulivyofanya kwa Sihoni"
|