forked from WA-Catalog/sw_tn
459 B
459 B
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini Yahwe alivyosema nao.
alisikia sauti ya maneno yao
"alisikia kile mlikuwa mnasema"
aliapa na kusema
Mungu alifanya kiapo si kuwaruhusu wale walioasi dhidi yake kuingia nchi aliyowaahidia kuwapa.
utaona
"utaingia"
muokoe Kalebu
"isopokuwa Kalebu"
Jephunnehi
Hili ni jina la baba yake na Kalebu.
alimfuata kikamilifu Yahwe
Yahwe anazungumza kama alikuwa mtu mwingine.