forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
459 B
Markdown
28 lines
459 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini Yahwe alivyosema nao.
|
||
|
|
||
|
# alisikia sauti ya maneno yao
|
||
|
|
||
|
"alisikia kile mlikuwa mnasema"
|
||
|
|
||
|
# aliapa na kusema
|
||
|
|
||
|
Mungu alifanya kiapo si kuwaruhusu wale walioasi dhidi yake kuingia nchi aliyowaahidia kuwapa.
|
||
|
|
||
|
# utaona
|
||
|
|
||
|
"utaingia"
|
||
|
|
||
|
# muokoe Kalebu
|
||
|
|
||
|
"isopokuwa Kalebu"
|
||
|
|
||
|
# Jephunnehi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la baba yake na Kalebu.
|
||
|
|
||
|
# alimfuata kikamilifu Yahwe
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumza kama alikuwa mtu mwingine.
|