sw_tn/dan/04/23.md

404 B

Maelezo ya jumla

Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza

Maelezo ya jumla

Mistari hii inafanana sawa sawa kama 4:13 na 4:15

kisiki cha mizizi yake

Hii ni sehemu ya mti ambayo huachwa juu ya ardhi baada ya mti kukatwa.

katikati ya mche mororo katika shamba

"imezungukwa na miche nyororo ya shamba"

umande

"unyevu nyevu ulio katika nchi wakati wa asubuhi"