forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
404 B
Markdown
20 lines
404 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii inafanana sawa sawa kama 4:13 na 4:15
|
||
|
|
||
|
# kisiki cha mizizi yake
|
||
|
|
||
|
Hii ni sehemu ya mti ambayo huachwa juu ya ardhi baada ya mti kukatwa.
|
||
|
|
||
|
# katikati ya mche mororo katika shamba
|
||
|
|
||
|
"imezungukwa na miche nyororo ya shamba"
|
||
|
|
||
|
# umande
|
||
|
|
||
|
"unyevu nyevu ulio katika nchi wakati wa asubuhi"
|