forked from WA-Catalog/sw_tn
565 B
565 B
Maelezo ya jumla
Katika mistari ya 1-18, Nebukadneza anaeleza maono yake kutoka kwa Mungu katika nafsi ya kwanza
Maelezo ya jumla
Mjumbe mtakatifu katika maono anaendelea kupiga kelele kwa baadhi ya watu.
kisiki cha mizizi yake
Hii ni sehemy ya mti ambayo huuchwa ardhini baada ya mti kukatwa.
umande
huu ni unyevu nyevu juu ya nchi ambao unapatikana wakati wa asubuhi.
Akili yake na ibadilishwe kutoka... mpaka ipite miaka saba
Kwa kuwa mti unamwakilisha Nebukadneza, kwa hiyo viwakilishi vyote vimetumika katika kifungu hiki kumwongelea yeye.