sw_tn/dan/04/15.md

565 B

Maelezo ya jumla

Katika mistari ya 1-18, Nebukadneza anaeleza maono yake kutoka kwa Mungu katika nafsi ya kwanza

Maelezo ya jumla

Mjumbe mtakatifu katika maono anaendelea kupiga kelele kwa baadhi ya watu.

kisiki cha mizizi yake

Hii ni sehemy ya mti ambayo huuchwa ardhini baada ya mti kukatwa.

umande

huu ni unyevu nyevu juu ya nchi ambao unapatikana wakati wa asubuhi.

Akili yake na ibadilishwe kutoka... mpaka ipite miaka saba

Kwa kuwa mti unamwakilisha Nebukadneza, kwa hiyo viwakilishi vyote vimetumika katika kifungu hiki kumwongelea yeye.