forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
565 B
Markdown
20 lines
565 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Katika mistari ya 1-18, Nebukadneza anaeleza maono yake kutoka kwa Mungu katika nafsi ya kwanza
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mjumbe mtakatifu katika maono anaendelea kupiga kelele kwa baadhi ya watu.
|
||
|
|
||
|
# kisiki cha mizizi yake
|
||
|
|
||
|
Hii ni sehemy ya mti ambayo huuchwa ardhini baada ya mti kukatwa.
|
||
|
|
||
|
# umande
|
||
|
|
||
|
huu ni unyevu nyevu juu ya nchi ambao unapatikana wakati wa asubuhi.
|
||
|
|
||
|
# Akili yake na ibadilishwe kutoka... mpaka ipite miaka saba
|
||
|
|
||
|
Kwa kuwa mti unamwakilisha Nebukadneza, kwa hiyo viwakilishi vyote vimetumika katika kifungu hiki kumwongelea yeye.
|