sw_tn/dan/01/01.md

593 B

Nebukadneza

Jina hili humrejelea Nebukadneza na wanajeshi wake, siyo yeye peke yake.

kuzuia mahitaji yake yote

"Kuwazuia watu wasipokee mahitaji"

Yehoyakimu mfalme wa Yuda

Hii inamrejelea Yehoyakimu na wanajeshi wake, siyo Yehoyakimu peke yake.

alimpatia

Yehoyakimu alimpa Nebukadneza

alivipeleka ...aliviweka

Ingawa Nebukadneza hakufanya vitu hivi peke yake, ni vizuri kwa msomaji kutumia umoja tu.

Alivipeleka

Kiwakilishi 'vi' kinarejelea vitu/vifaa vitakatifu vilivyochukuliwa kutoka Yerusalemu.

hazina ya mungu wake

Hiki kitendo kilikuwa na ibada kwa mungu wake