forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
593 B
Markdown
28 lines
593 B
Markdown
|
# Nebukadneza
|
||
|
|
||
|
Jina hili humrejelea Nebukadneza na wanajeshi wake, siyo yeye peke yake.
|
||
|
|
||
|
# kuzuia mahitaji yake yote
|
||
|
|
||
|
"Kuwazuia watu wasipokee mahitaji"
|
||
|
|
||
|
# Yehoyakimu mfalme wa Yuda
|
||
|
|
||
|
Hii inamrejelea Yehoyakimu na wanajeshi wake, siyo Yehoyakimu peke yake.
|
||
|
|
||
|
# alimpatia
|
||
|
|
||
|
Yehoyakimu alimpa Nebukadneza
|
||
|
|
||
|
# alivipeleka ...aliviweka
|
||
|
|
||
|
Ingawa Nebukadneza hakufanya vitu hivi peke yake, ni vizuri kwa msomaji kutumia umoja tu.
|
||
|
|
||
|
# Alivipeleka
|
||
|
|
||
|
Kiwakilishi 'vi' kinarejelea vitu/vifaa vitakatifu vilivyochukuliwa kutoka Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# hazina ya mungu wake
|
||
|
|
||
|
Hiki kitendo kilikuwa na ibada kwa mungu wake
|