forked from WA-Catalog/sw_tn
720 B
720 B
Sentensi unganishi:
Paulo anawaonya walioamini kwamba kwa kuwa ni wamoja pamoja na Kristo, kuna mambo ambayo waumini hawapaswi kuyafanya
Mungu amewafufua pamoja na Kristo
Kama vile Mungu alivyo mfufua Kristo kutoka kwa wafu, hivyo anawahesabu waumini wa Kolosai kama waliofufuliwa kwenda mbinguni.
mambo yaliyo juu
"mambo ya mbinguni" au "mambo ya kimungu"
kwa kuwa mmekufa
Kama Kristo alivyokufa, hivyo Mungu anawahesabu waumini wa Kolosai kama wamekufa na Kristo.
maisha yenu yamefichwa pamoja na Kristo
Paulo anazungumzia wale watu waishio kana kwamba walikuwa alama ambayo inayoweza kujificha kwenye chombo cha kubebea.
ambaye ni maisha yenu
Kristo ni yule atoaye uzima wa kiroho kwa waamini.