forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
720 B
Markdown
24 lines
720 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Paulo anawaonya walioamini kwamba kwa kuwa ni wamoja pamoja na Kristo, kuna mambo ambayo waumini hawapaswi kuyafanya
|
||
|
|
||
|
# Mungu amewafufua pamoja na Kristo
|
||
|
|
||
|
Kama vile Mungu alivyo mfufua Kristo kutoka kwa wafu, hivyo anawahesabu waumini wa Kolosai kama waliofufuliwa kwenda mbinguni.
|
||
|
|
||
|
# mambo yaliyo juu
|
||
|
|
||
|
"mambo ya mbinguni" au "mambo ya kimungu"
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa mmekufa
|
||
|
|
||
|
Kama Kristo alivyokufa, hivyo Mungu anawahesabu waumini wa Kolosai kama wamekufa na Kristo.
|
||
|
|
||
|
# maisha yenu yamefichwa pamoja na Kristo
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia wale watu waishio kana kwamba walikuwa alama ambayo inayoweza kujificha kwenye chombo cha kubebea.
|
||
|
|
||
|
# ambaye ni maisha yenu
|
||
|
|
||
|
Kristo ni yule atoaye uzima wa kiroho kwa waamini.
|