sw_tn/amo/09/11.md

16 lines
422 B
Markdown

# hema...matawi...magofu
Baada ya Yahwe kuuharibu ufalme wa Israeli, itakuwa kama hema ambazo nguzo zake za miti zimevunjika, ule ukuta uliokuwa umeanguka chini katika sehemu hiyo hiyo, na ile nyumba iliyokuwa imeangushwa chini.
# matawi
sehemu za ukuta ambazo zimeanguka
# magofu
kile kinachosalia wakati jengo limeharibiwa
# mabaki ya Edomu
vyovyote kile ambacho Israeli haijatakiwa katika mkoa au watu wa Edomu.