sw_tn/amo/09/11.md

422 B

hema...matawi...magofu

Baada ya Yahwe kuuharibu ufalme wa Israeli, itakuwa kama hema ambazo nguzo zake za miti zimevunjika, ule ukuta uliokuwa umeanguka chini katika sehemu hiyo hiyo, na ile nyumba iliyokuwa imeangushwa chini.

matawi

sehemu za ukuta ambazo zimeanguka

magofu

kile kinachosalia wakati jengo limeharibiwa

mabaki ya Edomu

vyovyote kile ambacho Israeli haijatakiwa katika mkoa au watu wa Edomu.