forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
422 B
Markdown
16 lines
422 B
Markdown
|
# hema...matawi...magofu
|
||
|
|
||
|
Baada ya Yahwe kuuharibu ufalme wa Israeli, itakuwa kama hema ambazo nguzo zake za miti zimevunjika, ule ukuta uliokuwa umeanguka chini katika sehemu hiyo hiyo, na ile nyumba iliyokuwa imeangushwa chini.
|
||
|
|
||
|
# matawi
|
||
|
|
||
|
sehemu za ukuta ambazo zimeanguka
|
||
|
|
||
|
# magofu
|
||
|
|
||
|
kile kinachosalia wakati jengo limeharibiwa
|
||
|
|
||
|
# mabaki ya Edomu
|
||
|
|
||
|
vyovyote kile ambacho Israeli haijatakiwa katika mkoa au watu wa Edomu.
|