sw_tn/amo/08/11.md

595 B

asemavyo Bwana Yahwe

Mungu mwenyewe ameagiza

watatangatanga...watkimbia

Baadhi watatembea polepole na kuanguka chini kirahis, kama mtu mwenye njaa, na wengine watakuwa hapa na huko upesi.

kutoka bahari hata bahari; watakimbia kutoka kaskazini kwenda magharibi kutafuta neno

"kutoka bahari hata bahari na kutoka kaskazini hata magharibi. Watakuwa wakikimbia kutafuta neno."

kutoka bahari hata bahari...kutoka kaskazini kwenda magharibi

Kwa ajili ya mtu aliyesimama Betheli, hii ingeweza kuwa mduara: Bahari mfu (kusini) hata Mediterania (magharibi) hata kasikazini hata magharibi.