forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
595 B
Markdown
16 lines
595 B
Markdown
|
# asemavyo Bwana Yahwe
|
||
|
|
||
|
Mungu mwenyewe ameagiza
|
||
|
|
||
|
# watatangatanga...watkimbia
|
||
|
|
||
|
Baadhi watatembea polepole na kuanguka chini kirahis, kama mtu mwenye njaa, na wengine watakuwa hapa na huko upesi.
|
||
|
|
||
|
# kutoka bahari hata bahari; watakimbia kutoka kaskazini kwenda magharibi kutafuta neno
|
||
|
|
||
|
"kutoka bahari hata bahari na kutoka kaskazini hata magharibi. Watakuwa wakikimbia kutafuta neno."
|
||
|
|
||
|
# kutoka bahari hata bahari...kutoka kaskazini kwenda magharibi
|
||
|
|
||
|
Kwa ajili ya mtu aliyesimama Betheli, hii ingeweza kuwa mduara: Bahari mfu (kusini) hata Mediterania (magharibi) hata kasikazini hata magharibi.
|