forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
627 B
Markdown
24 lines
627 B
Markdown
# Mwondoeni mtu huyu katika nchi
|
|
|
|
Neno "nchi" yanaongeza mkazo "Mwondoeni." : "Mwueni"
|
|
|
|
# Na walivyokuwa
|
|
|
|
Neno "Walipokuwa" limetimika kwa alama matukio mawili ambayo yanatokea wakati huo huo.
|
|
|
|
# na kutupa mavazi yao na kutupa mavumbi juu
|
|
|
|
Tukio hili linaonyesha Wayahudi walikuwa wamekasirika kwasababu walijisikia kuwa Paulo alikuwa amenena kinyume cha Mungu.
|
|
|
|
# akaamuru Paulo aletwe
|
|
|
|
Hii inamaanisha "aliwaamuru askari wake ili kumleta Paulo"
|
|
|
|
# ngome
|
|
|
|
ilikuwa imeungana na uwanda wa nje wa hekalu
|
|
|
|
# Akaamuru aulizwe huku anapigwa mijeledi
|
|
|
|
Kamanda alitaka Paul kuteswa kwa kuchapwa viboko ili kuhakikisha anasema ukweli.
|