sw_tn/act/22/22.md

627 B

Mwondoeni mtu huyu katika nchi

Neno "nchi" yanaongeza mkazo "Mwondoeni." : "Mwueni"

Na walivyokuwa

Neno "Walipokuwa" limetimika kwa alama matukio mawili ambayo yanatokea wakati huo huo.

na kutupa mavazi yao na kutupa mavumbi juu

Tukio hili linaonyesha Wayahudi walikuwa wamekasirika kwasababu walijisikia kuwa Paulo alikuwa amenena kinyume cha Mungu.

akaamuru Paulo aletwe

Hii inamaanisha "aliwaamuru askari wake ili kumleta Paulo"

ngome

ilikuwa imeungana na uwanda wa nje wa hekalu

Akaamuru aulizwe huku anapigwa mijeledi

Kamanda alitaka Paul kuteswa kwa kuchapwa viboko ili kuhakikisha anasema ukweli.