forked from WA-Catalog/sw_tn
627 B
627 B
Mwondoeni mtu huyu katika nchi
Neno "nchi" yanaongeza mkazo "Mwondoeni." : "Mwueni"
Na walivyokuwa
Neno "Walipokuwa" limetimika kwa alama matukio mawili ambayo yanatokea wakati huo huo.
na kutupa mavazi yao na kutupa mavumbi juu
Tukio hili linaonyesha Wayahudi walikuwa wamekasirika kwasababu walijisikia kuwa Paulo alikuwa amenena kinyume cha Mungu.
akaamuru Paulo aletwe
Hii inamaanisha "aliwaamuru askari wake ili kumleta Paulo"
ngome
ilikuwa imeungana na uwanda wa nje wa hekalu
Akaamuru aulizwe huku anapigwa mijeledi
Kamanda alitaka Paul kuteswa kwa kuchapwa viboko ili kuhakikisha anasema ukweli.