forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
710 B
Markdown
28 lines
710 B
Markdown
# Taarifa ya jumla
|
|
|
|
Fungu hili limawahusu Yakobo na wazee wengine.
|
|
|
|
# watu wanne ambao waliweka kiapo
|
|
|
|
Hii ilikuwa ni aina ya kiapo ambapo mtu hakutaka kunywa kileo au kukata nywele zao mpaka mwisho wa kipindi cha kuweka muda. "watu wanne ambao walitoa ahadi kwa Mungu."
|
|
|
|
# Wachukue watu hawa na ujitakase mwenyewe pamoja nao
|
|
|
|
Walikuwa wanapaswa wao wenyewe kujitakasa ili waweze kuabudu ndani ya hekalu.
|
|
|
|
# na uwalipie gharama zao
|
|
|
|
Lipa kile ambacho watahitaji kulipiwa.
|
|
|
|
# ili waweze kunyoa vichwa vyao
|
|
|
|
Hii ni ishara ya mtu anayetimiza nadhili yake kwa Mungu.
|
|
|
|
# mambo waliyoambiwa kuhusu wewe
|
|
|
|
Mambo ambayo yanasemwa na watu kukuhusu wewe.
|
|
|
|
# Kufuata sheria
|
|
|
|
Inamaanisha utii wa kuzishika sheria za Mungu.
|