forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
542 B
Markdown
24 lines
542 B
Markdown
# Taarifa ya jumla
|
|
|
|
Habari hii inazungumzia juu ya Paulo na Eutiko.
|
|
|
|
# katika dirisha
|
|
|
|
Hii ilikuwa sehemu ya uwazi katika kona ya ukuta wa chumba cha juu. Upana wake ulitosha mtu kuweza kuketi pale.
|
|
|
|
# Eutiko
|
|
|
|
Hili ni jina la mtu mwanaume
|
|
|
|
# aliyepatwa na usingizi mzito
|
|
|
|
Hapa inasemea; "Alichoka sana na kupelekea usingizi mzito uliompata"
|
|
|
|
# ghorofa ya tatu na aliokotwa akiwa amekufa
|
|
|
|
Wakati walipotelemka kwenda kuona hali yake, walimwona akiwa amekwisha kufa.
|
|
|
|
# Ghorofa ya tatu
|
|
|
|
Hii inamaanisha ghorofa mbili kabla ya tatu inayofuata.
|