sw_tn/act/20/09.md

542 B

Taarifa ya jumla

Habari hii inazungumzia juu ya Paulo na Eutiko.

katika dirisha

Hii ilikuwa sehemu ya uwazi katika kona ya ukuta wa chumba cha juu. Upana wake ulitosha mtu kuweza kuketi pale.

Eutiko

Hili ni jina la mtu mwanaume

aliyepatwa na usingizi mzito

Hapa inasemea; "Alichoka sana na kupelekea usingizi mzito uliompata"

ghorofa ya tatu na aliokotwa akiwa amekufa

Wakati walipotelemka kwenda kuona hali yake, walimwona akiwa amekwisha kufa.

Ghorofa ya tatu

Hii inamaanisha ghorofa mbili kabla ya tatu inayofuata.