forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
541 B
Markdown
28 lines
541 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo anaendelea kuishi huko Efeso
|
|
|
|
# Wakati watu
|
|
|
|
"Watu" hapa inahusu waumini wa Efeso wakizungumza na Paulo.
|
|
|
|
# Wakabatizwa
|
|
|
|
Wakapokea ubatizo
|
|
|
|
# Kwa jina la Bwana Yesu
|
|
|
|
Hapa "Jina" linamaanisha nguvu na mamlaka ya Yesu.
|
|
|
|
# akaweka mikono yake
|
|
|
|
Akaweka mikono yake juu ya vichwa vyao wakati akiomba'
|
|
|
|
# walinena kwa lugha nyingine, na kutabiri
|
|
|
|
hakuna maelezo ya ambao wanaweza kuelewa ujumbe wao
|
|
|
|
# Katika yote walikuwa watu wapatao kumi na wawili
|
|
|
|
Hii ni taarifa za msingi kuhusu wanaume ambao walikuwa wamebatizwa
|