forked from WA-Catalog/sw_tn
541 B
541 B
Sentensi unganishi
Paulo anaendelea kuishi huko Efeso
Wakati watu
"Watu" hapa inahusu waumini wa Efeso wakizungumza na Paulo.
Wakabatizwa
Wakapokea ubatizo
Kwa jina la Bwana Yesu
Hapa "Jina" linamaanisha nguvu na mamlaka ya Yesu.
akaweka mikono yake
Akaweka mikono yake juu ya vichwa vyao wakati akiomba'
walinena kwa lugha nyingine, na kutabiri
hakuna maelezo ya ambao wanaweza kuelewa ujumbe wao
Katika yote walikuwa watu wapatao kumi na wawili
Hii ni taarifa za msingi kuhusu wanaume ambao walikuwa wamebatizwa