sw_tn/act/19/05.md

541 B

Sentensi unganishi

Paulo anaendelea kuishi huko Efeso

Wakati watu

"Watu" hapa inahusu waumini wa Efeso wakizungumza na Paulo.

Wakabatizwa

Wakapokea ubatizo

Kwa jina la Bwana Yesu

Hapa "Jina" linamaanisha nguvu na mamlaka ya Yesu.

akaweka mikono yake

Akaweka mikono yake juu ya vichwa vyao wakati akiomba'

walinena kwa lugha nyingine, na kutabiri

hakuna maelezo ya ambao wanaweza kuelewa ujumbe wao

Katika yote walikuwa watu wapatao kumi na wawili

Hii ni taarifa za msingi kuhusu wanaume ambao walikuwa wamebatizwa