sw_tn/act/17/30.md

626 B

Taarifa unganishi

Paulo alimaliza mazungumzo yake na wanafilosofia wa Areopago, aliyokuwa ameianza.

Kwahiyo

neno hili ni alama ya kauli kwamba alisema kwasababu ya kile ambacho alisema hapo awali

Mungu hakuzijari nyakati za ujinga

Inaweza kuwa na maana zifuatazo 1) "kwamba hawajui kuhusu kitu chochote" au 2) " kumkataa kwa makusudi"

Wakati atakapo wahukumu walimwengu kwa haki kwa njia ya mtu aliyemchagua

hapa, neno "walimwengu" inarejea watu waishio duniani.

kwa mtu ambaye alimchagua

"kwa mtu ambaye Mungu alimchagua"

Mungu alitoa uhakika wa mtu huyu

"Mungu alionyesha uchaguzi Wake kwa mtu huyu"