forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
626 B
Markdown
24 lines
626 B
Markdown
|
# Taarifa unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo alimaliza mazungumzo yake na wanafilosofia wa Areopago, aliyokuwa ameianza.
|
||
|
|
||
|
# Kwahiyo
|
||
|
|
||
|
neno hili ni alama ya kauli kwamba alisema kwasababu ya kile ambacho alisema hapo awali
|
||
|
|
||
|
# Mungu hakuzijari nyakati za ujinga
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwa na maana zifuatazo 1) "kwamba hawajui kuhusu kitu chochote" au 2) " kumkataa kwa makusudi"
|
||
|
|
||
|
# Wakati atakapo wahukumu walimwengu kwa haki kwa njia ya mtu aliyemchagua
|
||
|
|
||
|
hapa, neno "walimwengu" inarejea watu waishio duniani.
|
||
|
|
||
|
# kwa mtu ambaye alimchagua
|
||
|
|
||
|
"kwa mtu ambaye Mungu alimchagua"
|
||
|
|
||
|
# Mungu alitoa uhakika wa mtu huyu
|
||
|
|
||
|
"Mungu alionyesha uchaguzi Wake kwa mtu huyu"
|