forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
723 B
Markdown
28 lines
723 B
Markdown
# Taarifa ya jumla
|
|
|
|
Athene ni mji uliokuwa chini ya pwani kutoka Beroya ambayo ni Makedonia. Atheni ulikuwa moja ya miji muhimu zaidi katika Uyunani.
|
|
|
|
# walipogundua
|
|
|
|
"walipoambiwa" au "walipojulishwa" au "waliposikia"
|
|
|
|
# walikwenda huko na kuchochea
|
|
|
|
Hii inazungumzia kuhusu watu walioshawishwa kama mtu anayechanganya kemikali ili kutoa mlipuko. Waliwaendea na kuwashawishi kutenda isivyo.
|
|
|
|
# kuanzisha ghasia katika umati
|
|
|
|
"kusababisha hofu na wasiwasi miongoni mwa watu"
|
|
|
|
# Ndugu
|
|
|
|
Neno "ndugu" linamaanisha wanaume na wanawake walioamini"
|
|
|
|
# waliompeleka Paulo
|
|
|
|
"Walioambatana na Paulo" au "waliokwenda pamoja na Paulo"
|
|
|
|
# Walipokea kwake maelekezo kuhusu Silas na Timotheo.
|
|
|
|
"Aliwaambia wawaelekeze Silas na Timotheo"
|