sw_tn/act/17/13.md

723 B

Taarifa ya jumla

Athene ni mji uliokuwa chini ya pwani kutoka Beroya ambayo ni Makedonia. Atheni ulikuwa moja ya miji muhimu zaidi katika Uyunani.

walipogundua

"walipoambiwa" au "walipojulishwa" au "waliposikia"

walikwenda huko na kuchochea

Hii inazungumzia kuhusu watu walioshawishwa kama mtu anayechanganya kemikali ili kutoa mlipuko. Waliwaendea na kuwashawishi kutenda isivyo.

kuanzisha ghasia katika umati

"kusababisha hofu na wasiwasi miongoni mwa watu"

Ndugu

Neno "ndugu" linamaanisha wanaume na wanawake walioamini"

waliompeleka Paulo

"Walioambatana na Paulo" au "waliokwenda pamoja na Paulo"

Walipokea kwake maelekezo kuhusu Silas na Timotheo.

"Aliwaambia wawaelekeze Silas na Timotheo"