forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.3 KiB
Markdown
40 lines
1.3 KiB
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Hapa neno "Yeye" linamaanisha Bwana.
|
|
|
|
# Kwa hiyo wakabaki kule
|
|
|
|
"Hata hivyo walibaki kule." Paul na Barnaba walibaki ikonia kuwasaidia watu wengi walioamini katika 14:1. "Kwa hiyo" inaweza kuondolewa kama itaongeza mchanganyiko kwenye maandishi.
|
|
|
|
# kutoa uthibitisho kuhusu ujumbe wa neema yake
|
|
|
|
"kuonesha kwamba ujumbe kuhusu neema yake ni kweli"
|
|
|
|
# kuhusu ujumbe wa neema yake
|
|
|
|
"kuhusu ujumbe wa neema ya Bwana"
|
|
|
|
# kwa kuruhusu ishara na maajabu kufanywa na mikono ya Paulo na Barnaba.
|
|
|
|
HIi inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kwa kuwawezesha Paulo na Barnaba kufanya ishara na maajabu"
|
|
|
|
# kwa mikono ya Paulo na Barnaba
|
|
|
|
Hapa "mikono" inamaanisha nia na juhudi za wanaume hawa wawili kulingana na walivyoongozwa na Roho Mtakatifu. "kwa huduma ya Paulo na Barnaba"
|
|
|
|
# sehemu kubwa ya mji uligawanyika
|
|
|
|
Hapa "mji" inamaanisha watu waliomo kwenye mji. "watu wengi wa mji waligawanyika" au "watu wengi wa mji hawakukubaliana"
|
|
|
|
# walikuwa upande wa wayahudi
|
|
|
|
"waliaunga mkono Wayahudi" au "walikubaliana na Wayahudi." Kundi la kwanza lililotajwa halikukubaliana na ujumbe kuhusu neema.
|
|
|
|
# na mitume
|
|
|
|
Kundi la pili lililotajwa lilikubaliana na ujumbe kuhusu neema. Inaweza kusaidia kutaja tena kitezi. "walijiunga na mitume"
|
|
|
|
# mitume
|
|
|
|
Luka anamaanisha Paulo na Barnaba. Hapa "mitume" inaweza kutumika katika hali ya ujumla ya "wale waliotumwa nje."
|