sw_tn/act/07/09.md

518 B

Mababu

Wana wakubwa wa Yakobo " "au" ndugu wakubwa wa Yusufu"

wakamwonea wivu Yusufu

Ndugu zake wakubwa na Yusufu walijawa na wivu dhidi yake.

wakamuuza katika nchi ya Misri

Wayahudi walijua kuwa mababu zao walimwuza Yusufu na kuwa mtumwa katika nchi ya Misri.

Na Mungu

Inafaa kutumika kiuhalisia kuwa; "lakini Mungu" alikuwa pamoja naye huko.

Juu ya Misri

Yusufu akawatawala watu wote wa Misri

na juu ya nyumba yake yote

linaelezea; na kila kitu Farao alichokuwa anakimiliki nyumbani kwake.