forked from WA-Catalog/sw_tn
518 B
518 B
Mababu
Wana wakubwa wa Yakobo " "au" ndugu wakubwa wa Yusufu"
wakamwonea wivu Yusufu
Ndugu zake wakubwa na Yusufu walijawa na wivu dhidi yake.
wakamuuza katika nchi ya Misri
Wayahudi walijua kuwa mababu zao walimwuza Yusufu na kuwa mtumwa katika nchi ya Misri.
Na Mungu
Inafaa kutumika kiuhalisia kuwa; "lakini Mungu" alikuwa pamoja naye huko.
Juu ya Misri
Yusufu akawatawala watu wote wa Misri
na juu ya nyumba yake yote
linaelezea; na kila kitu Farao alichokuwa anakimiliki nyumbani kwake.