forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
518 B
Markdown
24 lines
518 B
Markdown
|
# Mababu
|
||
|
|
||
|
Wana wakubwa wa Yakobo " "au" ndugu wakubwa wa Yusufu"
|
||
|
|
||
|
# wakamwonea wivu Yusufu
|
||
|
|
||
|
Ndugu zake wakubwa na Yusufu walijawa na wivu dhidi yake.
|
||
|
|
||
|
# wakamuuza katika nchi ya Misri
|
||
|
|
||
|
Wayahudi walijua kuwa mababu zao walimwuza Yusufu na kuwa mtumwa katika nchi ya Misri.
|
||
|
|
||
|
# Na Mungu
|
||
|
|
||
|
Inafaa kutumika kiuhalisia kuwa; "lakini Mungu" alikuwa pamoja naye huko.
|
||
|
|
||
|
# Juu ya Misri
|
||
|
|
||
|
Yusufu akawatawala watu wote wa Misri
|
||
|
|
||
|
# na juu ya nyumba yake yote
|
||
|
|
||
|
linaelezea; na kila kitu Farao alichokuwa anakimiliki nyumbani kwake.
|