sw_tn/act/05/26.md

659 B

Sentensi unganishi

Mlinzi na maafisa waliwaleta mitume mbele ya baraza la viongozi wa dini.

waliwaogopa watu

Mitume walipelekwa bila vurugu mbele ya baraza, viongozi walikuwa wamewahofia watu juu ya kitendo chochote wangekifanya kwa mitume.

Katika jina hili

Neno "Jina" linamaanisha Yesu Kristo. Mitume walizuiliwa wasinene neno lolote kupitia Jina la Yesu.

mmeijaza Yerusalemu kwa fundisho lenu

Inamaanisha wamewafundisha watu wote wa Yerusalemu habari za Yesu.

na kutamani kuleta damu ya mtu huyu juu yetu.

Neno "Damu" linamaanisa kifo cha Yesu na damu yake. Kwamba Viongozi hao walipaswa kuwajibika kwa kuhusika kwao kumwua Yesu Kristo.