forked from WA-Catalog/sw_tn
659 B
659 B
Sentensi unganishi
Mlinzi na maafisa waliwaleta mitume mbele ya baraza la viongozi wa dini.
waliwaogopa watu
Mitume walipelekwa bila vurugu mbele ya baraza, viongozi walikuwa wamewahofia watu juu ya kitendo chochote wangekifanya kwa mitume.
Katika jina hili
Neno "Jina" linamaanisha Yesu Kristo. Mitume walizuiliwa wasinene neno lolote kupitia Jina la Yesu.
mmeijaza Yerusalemu kwa fundisho lenu
Inamaanisha wamewafundisha watu wote wa Yerusalemu habari za Yesu.
na kutamani kuleta damu ya mtu huyu juu yetu.
Neno "Damu" linamaanisa kifo cha Yesu na damu yake. Kwamba Viongozi hao walipaswa kuwajibika kwa kuhusika kwao kumwua Yesu Kristo.