forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
659 B
Markdown
20 lines
659 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Mlinzi na maafisa waliwaleta mitume mbele ya baraza la viongozi wa dini.
|
||
|
|
||
|
# waliwaogopa watu
|
||
|
|
||
|
Mitume walipelekwa bila vurugu mbele ya baraza, viongozi walikuwa wamewahofia watu juu ya kitendo chochote wangekifanya kwa mitume.
|
||
|
|
||
|
# Katika jina hili
|
||
|
|
||
|
Neno "Jina" linamaanisha Yesu Kristo. Mitume walizuiliwa wasinene neno lolote kupitia Jina la Yesu.
|
||
|
|
||
|
# mmeijaza Yerusalemu kwa fundisho lenu
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha wamewafundisha watu wote wa Yerusalemu habari za Yesu.
|
||
|
|
||
|
# na kutamani kuleta damu ya mtu huyu juu yetu.
|
||
|
|
||
|
Neno "Damu" linamaanisa kifo cha Yesu na damu yake. Kwamba Viongozi hao walipaswa kuwajibika kwa kuhusika kwao kumwua Yesu Kristo.
|