sw_tn/act/04/36.md

398 B

Maelezo ya jumla

Luka anamwelezea historia ya Barnaba

Yusufu, mlawi, mtu kutoka Kipro, alipewa jina la Barnabasi na mitume

Mitume walimpa Yusufu jina jingine Barnaba

hiyo ikitafasiriwa

ambalo linaweza kupewa tafasiri

mwana wa faraja

Mitume walitumia hivyo kuonyesha kwamba Yusufu alikuwa mtu wa kutia moyo wengine

akaziweka chini ya miguu ya mitume

Aliwasilisha pesa kwa mitume.