forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
398 B
Markdown
20 lines
398 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Luka anamwelezea historia ya Barnaba
|
||
|
|
||
|
# Yusufu, mlawi, mtu kutoka Kipro, alipewa jina la Barnabasi na mitume
|
||
|
|
||
|
Mitume walimpa Yusufu jina jingine Barnaba
|
||
|
|
||
|
# hiyo ikitafasiriwa
|
||
|
|
||
|
ambalo linaweza kupewa tafasiri
|
||
|
|
||
|
# mwana wa faraja
|
||
|
|
||
|
Mitume walitumia hivyo kuonyesha kwamba Yusufu alikuwa mtu wa kutia moyo wengine
|
||
|
|
||
|
# akaziweka chini ya miguu ya mitume
|
||
|
|
||
|
Aliwasilisha pesa kwa mitume.
|