sw_tn/act/04/32.md

371 B

Walioamini walikuwa na moyo mmoja na roho moja

Neno "Moyo" linaelezea mawazo kuwa wote waliwaza kitu kimoja na moyo mmoja.

walikuwa na vitu vyote shirika

Waligawana vitu vyao kila mmoja na mwenzake.

na neema kubwa ilikuwa juu yao wote.

Pengine maana yake 1) Mungu aliwabariki waumini zaidi; au 2) Watu katka Yerusalemu waliwasaidia waumini katika hali ya juu.