forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
371 B
Markdown
12 lines
371 B
Markdown
|
# Walioamini walikuwa na moyo mmoja na roho moja
|
||
|
|
||
|
Neno "Moyo" linaelezea mawazo kuwa wote waliwaza kitu kimoja na moyo mmoja.
|
||
|
|
||
|
# walikuwa na vitu vyote shirika
|
||
|
|
||
|
Waligawana vitu vyao kila mmoja na mwenzake.
|
||
|
|
||
|
# na neema kubwa ilikuwa juu yao wote.
|
||
|
|
||
|
Pengine maana yake 1) Mungu aliwabariki waumini zaidi; au 2) Watu katka Yerusalemu waliwasaidia waumini katika hali ya juu.
|