forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
640 B
Markdown
24 lines
640 B
Markdown
# Maelezo unganishi
|
|
|
|
Waumini wanakamilisha maombi yao waliyoyaanza
|
|
|
|
# yaangalie matisho yao,
|
|
|
|
Neno, "Yaangalie" Ni ombi kwa Mungu kuchukua hatua dhidi ya vitisho vya Wayahydi viongozi kwa vitisho vyao kwa waumini.
|
|
|
|
# kwamba unaponyosha mkono wako kuponya
|
|
|
|
Neno "Mkono" unaelezea nguvu za Mungu katika kuponya watu.
|
|
|
|
# kupitia jina la mtumishi wako mtakatifu Yesu
|
|
|
|
Neno "Jina" Linamaanisha nguvu na mamlaka ya Mtakatifu Yesu
|
|
|
|
# eneo ambalo walikusanyika kwa pamoja likatikiswa
|
|
|
|
Eneo walipokuwa wakifanyia maombi pakatikisika.
|
|
|
|
# na wote wakajazwa na Roho Mtakatifu
|
|
|
|
Roho Mtakatifu aliwajaza wote, na kuanz kulinena neno la Mungu kwa ujasiri
|