sw_tn/act/04/29.md

640 B

Maelezo unganishi

Waumini wanakamilisha maombi yao waliyoyaanza

yaangalie matisho yao,

Neno, "Yaangalie" Ni ombi kwa Mungu kuchukua hatua dhidi ya vitisho vya Wayahydi viongozi kwa vitisho vyao kwa waumini.

kwamba unaponyosha mkono wako kuponya

Neno "Mkono" unaelezea nguvu za Mungu katika kuponya watu.

kupitia jina la mtumishi wako mtakatifu Yesu

Neno "Jina" Linamaanisha nguvu na mamlaka ya Mtakatifu Yesu

eneo ambalo walikusanyika kwa pamoja likatikiswa

Eneo walipokuwa wakifanyia maombi pakatikisika.

na wote wakajazwa na Roho Mtakatifu

Roho Mtakatifu aliwajaza wote, na kuanz kulinena neno la Mungu kwa ujasiri