forked from WA-Catalog/sw_tn
640 B
640 B
Maelezo unganishi
Waumini wanakamilisha maombi yao waliyoyaanza
yaangalie matisho yao,
Neno, "Yaangalie" Ni ombi kwa Mungu kuchukua hatua dhidi ya vitisho vya Wayahydi viongozi kwa vitisho vyao kwa waumini.
kwamba unaponyosha mkono wako kuponya
Neno "Mkono" unaelezea nguvu za Mungu katika kuponya watu.
kupitia jina la mtumishi wako mtakatifu Yesu
Neno "Jina" Linamaanisha nguvu na mamlaka ya Mtakatifu Yesu
eneo ambalo walikusanyika kwa pamoja likatikiswa
Eneo walipokuwa wakifanyia maombi pakatikisika.
na wote wakajazwa na Roho Mtakatifu
Roho Mtakatifu aliwajaza wote, na kuanz kulinena neno la Mungu kwa ujasiri