sw_tn/2th/03/13.md

24 lines
584 B
Markdown

# Lakini
Paulo anatumia neno hili kutofautisha kati ya wakristo wavivu na wachapakazi.
# ninyi, ndugu
Neno "niny" linamaanisha wakristo wote wa Thesalonike.
# ndugu
Neno "ndugu" hapa linamaanisha wakristo wenzangu, inajumuisha wanaume na wanawake. AT: "ndugu wa kiume na wakike"
# msizimie roho
"Kuzimia moyo" ni neno linalomaanisha kuchoka, au kukata tama." "msikate tamaa au "msichoke"
# muwe makini naye
Mmtambue kuwa ni nani.AT: "mmtambue mbele za watu"
# ili kwamba aweze kuaibika
Paulo anawaelekeza waumini kujihadhari nawaumini wavivu kama kitendo cha kuwaadibisha.