forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
584 B
Markdown
24 lines
584 B
Markdown
# Lakini
|
|
|
|
Paulo anatumia neno hili kutofautisha kati ya wakristo wavivu na wachapakazi.
|
|
|
|
# ninyi, ndugu
|
|
|
|
Neno "niny" linamaanisha wakristo wote wa Thesalonike.
|
|
|
|
# ndugu
|
|
|
|
Neno "ndugu" hapa linamaanisha wakristo wenzangu, inajumuisha wanaume na wanawake. AT: "ndugu wa kiume na wakike"
|
|
|
|
# msizimie roho
|
|
|
|
"Kuzimia moyo" ni neno linalomaanisha kuchoka, au kukata tama." "msikate tamaa au "msichoke"
|
|
|
|
# muwe makini naye
|
|
|
|
Mmtambue kuwa ni nani.AT: "mmtambue mbele za watu"
|
|
|
|
# ili kwamba aweze kuaibika
|
|
|
|
Paulo anawaelekeza waumini kujihadhari nawaumini wavivu kama kitendo cha kuwaadibisha.
|